Rukia maudhui
Hesabu 24:20-25

Unabii Juu ya Mataifa

Hesabu 24:20-25
20
Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake: “Amaleki ilikuwa ya kwanza miongoni mwa mataifa, lakini mwisho wake itaangamizwa milele.”
21
Kisha akawaona Wakeni, akatoa ujumbe wake: “Makao yenu ni salama, kiota chenu kiko kwenye mwamba.
22
Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa Ashuru atakapowachukua mateka.”
23
Ndipo akatoa ujumbe wake: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?
24
Meli zitakuja kutoka pwani za Kitimu, zitaitiisha Ashuru na Eberi, lakini nao pia wataangamizwa.”
25
Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani kwake, naye Balaki akashika njia yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options