Rukia maudhui
Hesabu 17:8-9

Fimbo ya Haruni Yachanua na Kuchanua Maua

Hesabu 17:8-9
8
Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.
9
Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za Bwana. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options