Skip to content
Hesabu 17:10-11

Hesabu 17:10-11

10
Bwana akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”
11
Mose akafanya kama Bwana alivyomwamuru.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options