Rukia maudhui
Hesabu 15:17-21

Kutoa Malimbuko ya Unga

Hesabu 15:17-21
17
Bwana akamwambia Mose,
18
“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka
19
nanyi mkala chakula cha nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kama sadaka kwa Bwana.
20
Toeni andazi kutoka kwa malimbuko ya chakula chenu kitokacho katika ardhi, na mkitoe kama sadaka kutoka sakafu ya kupuria nafaka.
21
Kwa vizazi vyote vijavyo hamna budi kutoa sadaka hii kwa Bwana kutoka kwa malimbuko ya unga wenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options