Nehemia 11:31-36
31
Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,
32
katika Anathothi, Nobu na Anania,
33
katika Hazori, Rama na Gitaimu,
34
katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,
35
katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.
36
Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.
Settings