Skip to content
Nehemia 12:1-9

Nehemia 12:1-9

1
Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua: Seraya, Yeremia, Ezra,
2
Amaria, Maluki, Hatushi,
3
Shekania, Rehumu, Meremothi,
4
Ido, Ginethoni, Abiya,
5
Miyamini, Moadia, Bilga,
6
Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
7
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
8
Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na pia Matania, ambaye pamoja na wenzake, alikuwa kiongozi wa nyimbo za shukrani.
9
Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options