Rukia maudhui
Mathayo 27:50-51

Mathayo 27:50-51

50
Yesu alipolia tena kwa sauti kuu, akaitoa roho yake.
51
Wakati huo huo pazia la Hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options