Rukia maudhui
Mathayo 27:30-31

Mathayo 27:30-31

30
Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.
31
Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakampeleka ili wakamsulubishe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options