Rukia maudhui
Mathayo 19:13-15

Waacheni Watoto Wadogo Waje

Mathayo 19:13-15
13
Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na awaombee. Lakini wanafunzi wake wakawakemea wale waliowaleta.
14
Yesu akasema, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mbinguni ni wa wale walio kama hawa.”
15
Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options