Rukia maudhui
Mathayo 14:34-36

Uponyaji Huko Genesareti

Mathayo 14:34-36
34
Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti.
35
Watu wa eneo lile walipomtambua Yesu, walipeleka habari sehemu zote za jirani. Watu wakamletea wagonjwa wao wote,
36
wakamsihi awaruhusu wagonjwa waguse tu pindo la vazi lake, nao wote waliomgusa, wakaponywa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options