Rukia maudhui
Marko 8:31-33

Yesu Atabiri Kifo na Ufufuo Wake

Marko 8:31-33
31
Ndipo akaanza kuwafundisha wanafunzi wake kuwa Mwana wa Adamu lazima atapata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini baada ya siku tatu afufuke.
32
Aliyasema haya waziwazi, ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.
33
Lakini Yesu alipogeuka na kuwaangalia wanafunzi wake, akamkemea Petro. Akasema, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options