Rukia maudhui
Luka 24:50-53

Kupaa kwa Yesu na Kurudi Yerusalemu

Luka 24:50-53
50
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
51
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
52
Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.
53
Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options