Skip to content
Yohana 1:1-5

Yohana 1:1-5

1
Hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
2
Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu.
3
Vitu vyote viliumbwa kwa yeye, wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.
4
Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya watu.
5
Nuru hungʼaa gizani nalo giza halikuishinda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options