Rukia maudhui
Luka 20:45-47

Onyo Dhidi ya Waandishi

Luka 20:45-47
45
Wakati watu wote walikuwa wanamsikiliza, Yesu akawaambia wanafunzi wake,
46
“Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni. Hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kukaa kwenye nafasi za heshima katika karamu.
47
Wao hula nyumba za wajane, na ili waonekane kuwa wema, wanasali sala ndefu. Watu kama hawa watapata hukumu iliyo kuu sana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options