Skip to content
Luka 20:41-44

Luka 20:41-44

41
Kisha Yesu akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Kristoni Mwana wa Daudi?
42
Daudi mwenyewe anasema katika Kitabu cha Zaburi: “ ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume,
43
hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.” ’
44
Ikiwa Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ basi atakuwaje mwanawe?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options