Rukia maudhui
Walawi 22:31-33

Wito wa Kuzishika Amri za Mungu

Walawi 22:31-33
31
“Shikeni maagizo yangu na kuyafuata. Mimi ndimi Bwana.
32
Msilinajisi Jina langu takatifu. Lazima nikubalike kuwa mtakatifu kwa Waisraeli. Mimi ndimi Bwana ninayewafanya watakatifu,
33
na niliyewatoa katika nchi ya Misri niwe Mungu wenu. Mimi ndimi Bwana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options