Skip to content
Walawi 22:26-30

Walawi 22:26-30

26
Bwana akamwambia Mose,
27
“Wakati ndama, mwana-kondoo au mwana-mbuzi azaliwapo, atabaki na mama yake kwa siku saba. Kuanzia siku ya nane na kuendelea anaweza kukubaliwa kuwa sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto.
28
Usimchinje ngʼombe na ndama wake, au kondoo na kitoto chake siku moja.
29
“Unapomtolea Bwana dhabihu ya shukrani, itoe kwa namna ambayo itakubalika kwa niaba yako.
30
Ni lazima iliwe siku iyo hiyo, pasipo kubakiza chochote mpaka asubuhi. Mimi ndimi Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options