31
“Shikeni maagizo yangu na kuyafuata. Mimi ndimi Bwana.
32
Msilinajisi Jina langu takatifu. Lazima nikubalike kuwa mtakatifu kwa Waisraeli. Mimi ndimi Bwana ninayewafanya watakatifu,
33
na niliyewatoa katika nchi ya Misri niwe Mungu wenu. Mimi ndimi Bwana.”