Skip to content
Walawi 23:1-2

Nyakati Zilizowekwa za Bwana

Walawi 23:1-2
1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Hizi ndizo sikukuu zangu zilizoamriwa, sikukuu zilizoamriwa za Bwana, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options