Rukia maudhui
Maombolezo 5:19-22

Kumwomba Mungu Anayetawala Milele

Maombolezo 5:19-22
19
Wewe, Ee Bwana unatawala milele, kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.
20
Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?
21
Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana, ili tupate kurudi. Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,
22
isipokuwa uwe umetukataa kabisa na umetukasirikia pasipo kipimo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options