Skip to content
Maombolezo 3:48-51

Maombolezo 3:48-51

48
Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu, kwa sababu watu wangu wameangamizwa.
49
Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma, bila kupata nafuu,
50
hadi Bwana atazame chini kutoka mbinguni na kuona.
51
Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini kwa sababu ya wanawake wote wa mji wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options