Rukia maudhui
Yoshua 22:10-12

Makabila ya Ng’ambo ya Yordani Yajenga Madhabahu

Yoshua 22:10-12
10
Walipofika Gelilothi karibu na Yordani, katika nchi ya Kanaani, Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakajenga madhabahu ya fahari kubwa huko kando ya Yordani.
11
Waisraeli wengine waliposikia kwamba Wareubeni, Wagadi na ile nusu ya kabila la Manase walikuwa wamejenga madhabahu kwenye mpaka wa Kanaani huko Gelilothi karibu na Yordani kwenye upande wa Israeli,
12
kusanyiko lote la Israeli wakakusanyika huko Shilo ili wakapigane vita dhidi yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options