Rukia maudhui
Yoshua 17:12-13

Kushindwa Kuwanyang’anya Wakanaani

Yoshua 17:12-13
12
Lakini Wamanase hawakuweza kuimiliki miji hii, kwa kuwa Wakanaani walikazana kuishi katika maeneo hayo.
13
Hata hivyo, Waisraeli walivyoendelea kupata nguvu waliwatumikisha Wakanaani na kuwatia katika kazi za kulazimishwa, lakini hawakuwafukuza kabisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options