Yohana 7:47-52
47
Mafarisayo wakajibu, “Je, nanyi pia mmedanganyika?
48
Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?
49
Lakini huu umati wa watu wasiojua Sheria ya Mose, wamelaaniwa.”
50
Ndipo Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu siku moja usiku, ambaye alikuwa mmoja wao akauliza,
51
“Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”
52
Wakamjibu, “Je, wewe pia unatoka Galilaya? Chunguza nawe utaona kwamba hakuna nabii atokae Galilaya!” [
Settings