Rukia maudhui
Yohana 12:14-16

Yohana 12:14-16

14
Yesu akamkuta mwana-punda akampanda, kama ilivyoandikwa,
15
“Usiogope, Ewe binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda!”
16
Wanafunzi wake Yesu mwanzoni hawakuelewa mambo haya, lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka kuwa mambo haya yalikuwa yameandikwa kwa ajili yake na alitendewa yeye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options