Rukia maudhui
Ayubu 9:22-24

Mungu huwaangamiza wakamilifu na waovu

Ayubu 9:22-24
22
Hayo yote ni sawa; ndiyo sababu nasema, ‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa pamoja na waovu.’
23
Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula, yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule asiye na kosa.
24
Wakati nchi inapoangukia mikononi mwa waovu, yeye huwafunga macho mahakimu wake. Kama si yeye, basi ni nani?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options