Skip to content
Ayubu 5:8

Ayubu 5:8

Inaonyesha mstari 8 pamoja na muktadha unaouzunguka.
5
Wenye njaa huyala mavuno yake, wakiyatoa hata katikati ya miiba, nao wenye kiu huitamani sana mali yake.
6
Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo, wala udhia hauchipui kutoka ardhini.
7
Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika, kwa hakika kama cheche za moto zirukavyo kuelekea juu.
8
“Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia Mungu, ningeliweka shauri langu mbele zake.
9
Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa, miujiza isiyoweza kuhesabika.
10
Yeye huipa nchi mvua, huyapeleka maji kunyesha mashamba.
11
Huwainua juu wanyonge, nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options