Skip to content
Ayubu 39:26-27

Ayubu 39:26-27

26
“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
27
Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options