Rukia maudhui
Ayubu 38:39-41

Kuwatunza wanyama wa porini

Ayubu 38:39-41
39
“Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
40
wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
41
Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options