Rukia maudhui
Ayubu 38:19-21

Ayubu 38:19-21

19
“Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
20
Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
21
Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options