Rukia maudhui
Ayubu 22:6-11

Mashtaka ya uongo ya kutotenda haki kwa jamii

Ayubu 22:6-11
6
Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
7
Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
8
ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
9
Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
10
Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote, hatari ya ghafula inakutia hofu,
11
ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options