Rukia maudhui
Ayubu 19:28-29

Onyo la hukumu

Ayubu 19:28-29
28
“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’
29
ninyi wenyewe uogopeni upanga, kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga, nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options