Rukia maudhui
Isaya 57:20-21

Hakuna Amani kwa Waovu

Isaya 57:20-21
20
Bali waovu ni kama bahari ichafukayo, ambayo haiwezi kutulia, mawimbi yake hutupa takataka na matope.
21
Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options