Rukia maudhui
Isaya 36:21-22

Maofisa wa Hezekia Waripoti

Isaya 36:21-22
21
Lakini wale watu wakakaa kimya, wala hawakujibu lolote, kwa kuwa mfalme alikuwa amewaamuru, “Msimjibu lolote.”
22
Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna katibu, na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi wakamwendea Hezekia, nguo zao zikiwa zimeraruliwa, na kumwambia yale jemadari wa jeshi aliyoyasema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options