Rukia maudhui
Isaya 34:16-17

Uhakika wa Neno la Mungu

Isaya 34:16-17
16
Angalieni katika gombo la Bwana na msome: Hakuna hata mmoja katika hawa atakayekosekana, hakuna hata mmoja atakayemkosa mwenzi wake. Kwa kuwa ni kinywa chake Mungu kimeagiza, na Roho wake atawakusanya pamoja.
17
Huwagawia sehemu zao, mkono wake huwagawanyia kwa kipimo. Wataimiliki hata milele na kuishi humo kutoka kizazi hadi kizazi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options