Rukia maudhui
Hosea 13:7-8

Hukumu Kali ya Mungu

Hosea 13:7-8
7
Kwa hiyo nitakuja juu yao kama simba, kama chui nitawavizia kando ya njia.
8
Kama dubu aliyenyangʼanywa watoto wake, nitawashambulia na kurarua vifua vyenu. Kama simba nitawala; mnyama pori atawararua vipande vipande.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options