Skip to content
Hosea 13:4-6

Mungu Ndiye Mwokozi Pekee

Hosea 13:4-6
4
“Bali mimi ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewaleta ninyi toka Misri. Msimkubali Mungu mwingine ila mimi, hakuna Mwokozi isipokuwa mimi.
5
Niliwatunza huko jangwani, katika nchi yenye joto liunguzalo.
6
Nilipowalisha, walishiba, waliposhiba, wakajivuna, kisha wakanisahau mimi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options