Rukia maudhui
Hosea 1:4-5

Mtoto wa Kwanza: Yezreeli (Hukumu)

Hosea 1:4-5
4
Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Yezreeli, kwa kuwa kitambo kidogo nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya mauaji ya kule Yezreeli, nami nitaukomesha ufalme wa Israeli.
5
Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options