Skip to content
Hosea 1:2-3

Ndoa ya Hosea ya Kiishara

Hosea 1:2-3
2
Wakati Bwana alipoanza kuzungumza kupitia Hosea, Bwana alimwambia, “Nenda ukajitwalie mwanamke wa uzinzi na watoto wa uzinzi, kwa sababu nchi ina hatia ya uzinzi wa kupindukia kwa kumwacha Bwana.”
3
Kwa hiyo alimwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba na kumzalia Hosea mwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options