Skip to content
Hosea 1:4-5

Mtoto wa Kwanza: Yezreeli (Hukumu)

Hosea 1:4-5
4
Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Yezreeli, kwa kuwa kitambo kidogo nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya mauaji ya kule Yezreeli, nami nitaukomesha ufalme wa Israeli.
5
Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options