Rukia maudhui
Habakuki 3:1-2

Kichwa na Maombi ya Uamsho

Habakuki 3:1-2
1
Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.
2
Bwana, nimezisikia sifa zako; nami naogopa kwa matendo yako, Ee Bwana. Fufua kazi yako katikati ya miaka, katikati ya miaka tangaza habari yako; katika ghadhabu kumbuka rehema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options