Skip to content
Mwanzo 36:40-43

Mwanzo 36:40-43

40
Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
41
Oholibama, Ela, Pinoni,
42
Kenazi, Temani, Mibsari,
43
Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options