Skip to content
Mwanzo 31:22-25

Mwanzo 31:22-25

22
Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.
23
Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima katika Gileadi.
24
Ndipo Mungu akamjia Labani Mwaramu katika ndoto usiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme neno lolote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.”
25
Yakobo alikuwa amepiga hema lake katika nchi ya vilima katika Gileadi wakati Labani alipomkuta, Labani na jamaa yake wakapiga kambi huko pia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options