Rukia maudhui
Mwanzo 23:19-20

Sara azikwa Makpela

Mwanzo 23:19-20
19
Baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mkewe kwenye pango ndani ya shamba la Makpela karibu na Mamre (huko Hebroni) katika nchi ya Kanaani.
20
Hivyo Wahiti wakamkabidhi Abrahamu shamba pamoja na pango lililokuwa humo kuwa mahali pa kuzikia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options