Rukia maudhui
Mwanzo 23:1-2

Kifo cha Sara na maombolezo ya Abrahamu

Mwanzo 23:1-2
1
Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.
2
Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na kumlilia Sara.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options