Rukia maudhui
Mwanzo 12:1-3

Mwito wa Abramu na ahadi za agano

Mwanzo 12:1-3
1
Bwana akawa amemwambia Abramu, “Ondoka kutoka nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.
2
“Mimi nitakufanya taifa kubwa na nitakubariki, Nitalikuza jina lako, nawe utakuwa baraka.
3
Nitawabariki wale wanaokubariki, na yeyote akulaaniye nitamlaani; na kupitia kwako mataifa yote duniani yatabarikiwa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options