Skip to content
Mwanzo 10:6-7

Mwanzo 10:6-7

6
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
7
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options