Skip to content
Wagalatia 1:1-5

Wagalatia 1:1-5

1
Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
2
na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
3
Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
4
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu.
5
Utukufu una yeye milele na milele. Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options