Skip to content
2 Wakorintho 13:11-14

2 Wakorintho 13:11-14

11
Hatimaye, ndugu zangu, kwaherini. Kuweni wakamilifu, mkafarijike, kuweni wa nia moja, kaeni kwa amani. Naye Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
12
Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu.
13
Watakatifu wote wanawasalimu.
14
Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote. Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options