Ezra 2:43-58
43
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54
wazao wa Nesia na Hatifa.
55
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Settings